Kukiri
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa: Adui Hana Njia Nyingine Isipokuwa Kukubali Kushindwa na Kusalimu Amri
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (as) yamesema wananchi wa Iran na vikosi vyao vya ulinzi, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na chini ya uongozi wa Amiri Jeshi Mkuu, vimethibitisha kuwa Marekani na Israel hawana njia nyingine isipokuwa kukiri kushindwa na kusalimu amri mbele ya uthabiti wa taifa la Iran.
-
Sheikh Khalifa Khamis: Dunia Sasa Yakiri Iran ni Taifa Kuu
Sheikh Khalifa Khamis amesema dunia sasa imeitambua Iran kama taifa kubwa, akisisitiza kuwa Imam Khomeini (ra) aliupa Uislamu nguvu katika nyanja za kidini, kisiasa na kijeshi.
-
Mtaalamu wa Lebanon azungumza na ABNA:
Kukiri kwa Trump ni ushahidi rasmi wa uvamizi dhidi ya Iran na ukiukajiwa kanuni za Umoja wa Mataifa -Ushawishi wa Marekani ndani ya Umoja wa Mataifa
Dk. Ali Matar, mhadhiri wa Sayansi ya Siasa na mtafiti wa masuala ya uhusiano wa kimataifa na sheria za kimataifa katika Chuo Kikuu cha Lebanon, amesisitiza kuwa kukiri kwa Donald Trump kuhusu ushiriki wa Marekani katika vita dhidi ya Iran ni ushahidi rasmi wa uvamizi na uvunjaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.