Sambamba na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Harakati ya Mapambano ya Kipalestina (Muqawama) na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza, vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti tetesi na tafsiri tofauti kuhusu masharti ya makubaliano hayo na namna yatakavyotekelezwa.
Abu Bakr Muhammad bin Sirin - Maarufu kama "Ibn Sirin" hakuwahi kuzungumza na mama yake kwa sauti ya juu, na kila alipomwambia jambo, ilikuwa kana kwamba anataka kulinong’oneza kwa siri.