Mwalimu wa Chuo cha Dini cha Qom amesema kwamba akili bandia (AI) imeunda mipaka mipya katika eneo la uwajibikaji, mamlaka, na haki. Aliongeza kuwa: Fiqh inapaswa kuwa na mtazamo wa kuangalia mbele, ili iweze kutoa hukumu na msingi wa dini kwa matukio mapya kabla ya kuibuka kwa migogoro au majanga.
Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa vyombo vya ujasusi vya Tel Aviv vinaandaa orodha kubwa ya malengo mapya nchini Yemen kwa mashambulizi yajayo.