Mataifa
-
Nafasi ya Marājiʿ wa Kishia katika Kulinda Umoja wa Ardhi na Utambulisho wa Kitaifa- Sehemu ya 2 | Marāji ni, Walinzi wa Uhuru wa Nchi za Kiislamu
Mfano mashuhuri ni Ayatullah al-Uzma Sayyid Muhammad Hasan Shirazi, ambaye alitoa Fat'wa maarufu ya kupiga marufuku tumbaku mwaka 1891 huko Iran, hatua iliyozuia njama za kikoloni za Waingereza na kuwa alama ya mapambano ya Kiislamu dhidi ya ukoloni. Vivyo hivyo, Ayatullah Kashif al-Ghita, Ayatullah Muhsin al-Hakim, na Imam Khomeini (r.a) walikuwa mstari wa mbele katika kuhimiza mapambano ya kulinda utu, uhuru, na heshima ya mataifa ya Kiislamu.
-
China Yaonesha Nguvu za Kijeshi Katika Gwaride Huku Rais wa China Xi Akisimama Pamoja na Rais Putin na Rais Kim +Picha
China iliandaa gwaride kubwa la kijeshi kuonesha uwezo wake wa kivita, huku Rais Xi Jinping akisalimiana na kusimama pamoja na Rais Vladimir Putin wa Urusi na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Hafla hiyo iliangazia umoja wa kisiasa kati ya mataifa hayo na kuonesha silaha mpya na teknolojia ya kisasa ya kijeshi mbele ya maelfu ya watazamaji na viongozi wa kimataifa.
-
Katika Siku ya Uhuru wa Afrika; Tuzo ya "Kwame Tour" ya Kuheshimu Mapambano ya Mataifa Dhidi ya Ukoloni imetolewa kwa ajili ya Shahidi Yahya Sinwar
Katika sherehe zilizofanyika kuadhimisha "Siku ya Uhuru wa Afrika," Tuzo ya Mwaka ya "Kwame Tour" ya 2025 ilitolewa kwa Yahya Sinwar, kiongozi mtakatifu wa Palestina aliyekuwa shahidi. Tuzo hii ilitolewa kwa kuenzi mchango wake katika kuongoza upinzani wa Palestina na kulinda haki za taifa la Palestina dhidi ya ukoloni wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Wawakilishi wa Harakati ya Hamas walikubali tuzo hiyo.