Maulid
-
Maulid Adhimu ya Mtume (s.a.w.w) Temeke Mwisho - Dar-es-salaam kuvutia wageni wa kitaifa na Kimataifa - Maandalizi yakamilika kwa Kiwango cha Juu
Dr. Alhad Mussa Salum ametoa wito kwa Waumini kuhudhuria kwa wingi, akisisitiza umuhimu wa kumuadhimisha Mtume Muhammad (s.a.w.w) kwa upendo na amani.
-
Dr. Alhad Mussa Salum: “Tumuadhimishe Mtume (S) na Tufuate Nyayo Zake”:
Jiji la Dar es Salaam Kujumuika Katika Maulid ya Masjid Majmuuat - Temeke Mwisho (Ijumaa: 17 -10-2025)
Dr. Alhad Mussa Salum ametoa wito kwa Waumini na watu wote wa Dar -es- Salaam na vitongoji vyake kuhudhuria kwa wingi katika hafla hiyo akisisitiza: “Tumuadhimishe Mtume Muhammad (s.a.w.w), tumtukuze, na tufuate nyayo zake kwa upendo na amani.”
-
Maulid Kubwa Masjid Majmuuat - Temeke Mwisho Kufanyika Ijumaa Oktoba 17, 2025
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum amewahimiza Waumini wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani kuhudhuria kwa wingi, akisisitiza kuwa mwaka huu Maulid itakuwa na vionjo vya pekee, ikiwa ni kumbukumbu ya kumsifu na kufuata nyayo za Mtume Muhammad (s.a.w).
-
Jamiatul Mustafa (s) Yaandaa Maadhimisho ya Maulid Al-Nabi, Dar-es-Salaam - Tanzania | Fursa ya Kusherehekea Kuzaliwa kwa Mtume Wetu Muhammad(s.a.w.w)
Maulid hii itafanyika Tarehe 07-09-2025, Pweza Beach Road - Kigamboni, Dar-es-salaam.