Mayahudi
-
Wayahudi Wanaopinga Uzayuni Wametoa Pongezi kwa Mashahidi wa Mashambulizi ya Israel Dhidi ya Iran
Mayahudi wanao uchukia Uzayuni huko New York, walihudhuria katika Ofisi ya Ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa mjini New York na kutoa heshima zao kwa Mashahidi wa Mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni.
-
Katika mazungumzo na daktari kutoka Yemen:
Imamu Khomeini alilitambua adui mkuu wa Umma wa Kiislamu; vita vya vyombo vya habari dhidi ya Iran vimeanzishwa
Daktari mwanamke kutoka Yemen alisema: Maadui walijitahidi kuionesha Iran kuwa adui wa Umma wa Kiislamu na mbadala wa adui wa kweli, ilhali maadui wakubwa na wa kihasama zaidi wa Umma wa Kiislamu ni Mayahudi wanaopinga Uislamu.
-
Sheikh Hemed Jalala:
Kwa nini Mashia wanatoa Salam za Krismasi kwa Wakristo?! | Pata jawabu maridhawa la swali hilo
Katika maisha ya Mtume wetu Muhammad (saww) ambaye ndiye Kiongozi wetu sisi kama Waislamu, bali Kiongozi wa walimwengu wote, tunapata mifano mingi ya uhusiano mwema na Wakristo, bali watu wote wasiokuwa Waislamu.
-
Kufunga (Saumu) Kabla ya Uislamu:
Saumu kabla ya Uislamu inasemekana kuwa ilidumu kwa zaidi ya Mwezi mmoja. Ilikuwa ni Miezi mingapi na kwa nini ilikuwa ndefu?
Tunawaona Mayahudi na Wakristo wakifunga kwa namna mbali mbali hadi zama za sasa, ima kwa kujizuia kula nyama au maziwa au kula na kunywa kabisa kwa mujibu wa Hadithi, kufunga (Saumu) katika Mwezi wa Ramadhani haikuwa wajibu kwa nyumati zilizopita, bali waliokuwa wakifunga Saumu ni Mitume (Manabii) wao pekee (a.s), hao ndio waliokuwa wakifunga Mwezi wa Ramadhani.
-
Mayahudi shari ndio chaguo lao, na kuangamizwa ndio hatima yao
Sheikh Mselem: "Mayahudi walikuwepo Madina. Lakini walileta ukorofi na kibri, wakawa wakivunja makubaliano waliyokuwa wakiingia na Mtume (s.a.w.w). Mtume (s.a.w.w) akawatandika na kuwatimua kutoka katika Bara Arabu">