Michezo
-
Rais Pezeshkian: Marekani Inakiuka Sheria katika Siasa na Michezo, Iran Itatetea Haki Zake
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ukiukaji wa sheria na udanganyifu ni sifa zinazotawala mwenendo wa Marekani katika siasa na michezo, akisisitiza kuwa Iran haitakubali vitendo hivyo na itaendelea kutetea haki zake kwa uthabiti.
-
Wachezaji wa Morocco Wamshukuru Mwenyezi Mungu na Kupeperusha Bendera ya Palestina Baada ya Kuifunga Canada
Wachezaji wa timu ya taifa ya Morocco walimsujudia Mwenyezi Mungu kwa shukrani baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Canada, huku wakiadhimisha ushindi huo kwa kupeperusha bendera ya Palestina kama ishara ya mshikamano.
-
Bendera ya “Ya Hussein” Yaibuka Juu Uwanjani Los Angeles Wakati wa Mechi ya Iran na Ubelgiji
Wakati wa mechi ya Kombe la Dunia kati ya Iran na Ubelgiji iliyofanyika katika uwanja wa Los Angeles, mashabiki walishuhudia tukio la kipekee ambapo bendera kubwa iliyoandikwa “Ya Hussain” iliinuliwa juu kwenye jukwaa la watazamaji, ikionesha mchanganyiko wa imani ya kidini na burudani ya soka. Mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya bila kufungana (0–0).
-
Timu ya Wanawake ya Volleyball ya Iran Yatwaa Ubingwa wa CAVA kwa Mara ya Pili Mfululizo
Timu ya taifa ya wanawake ya volleyball ya Iran imeendelea kuonesha ubabe wake katika ukanda wa Asia ya Kati baada ya kutwaa ubingwa wa Mashindano ya CAVA 2026 kwa kuifunga Kazakhstan mabao 3-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika mjini Kathmandu, Nepal.
-
Mazoezi ni Afya: Jamiat Al-Mustafa (s) Yaendeleza Michezo kwa Ajili ya Kuimarisha Afya ya Mwili na Akili
Kwa hakika, michezo na mazoezi haya yamekuwa kielelezo cha namna Uislamu unavyopenda mwili wenye nguvu, akili timamu, na mshikamano wa kijamii, ili kumsaidia Muislamu kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya kidini, kijamii na kiulimwengu.
-
Juhudi zinaendelea kuiadhibu Israel katika michezo kutokana na vita yake dhidi sya Gaza
Wakati mbio kubwa za baiskeli nchini Hispania zilikumbwa na vurugu za waandamanaji waliopinga ushiriki wa timu ya Israel, mataifa kadhaa ya Ulaya yametishia kususia tukio maarufu la burudani endapo Israel itaruhusiwa kushiriki.
-
Matokeo Chanya ya Ziara ya JMAT-TAIFA Katika Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo Kuhusu Matembezi ya Hiari ya Amani (MHA)
Kwa kutambua mchango huo, JMAT-TAIFA iliishukuru na inaendelea kuishukuru kwa dhati Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ushirikiano wao madhubuti, na walisisitiza kuwa mshikamano huo utaendelea kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa jamii zote za Taifa pendwa la Tanzania
-