Michezo
-
Mazoezi ni Afya: Jamiat Al-Mustafa (s) Yaendeleza Michezo kwa Ajili ya Kuimarisha Afya ya Mwili na Akili
Kwa hakika, michezo na mazoezi haya yamekuwa kielelezo cha namna Uislamu unavyopenda mwili wenye nguvu, akili timamu, na mshikamano wa kijamii, ili kumsaidia Muislamu kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya kidini, kijamii na kiulimwengu.
-
Juhudi zinaendelea kuiadhibu Israel katika michezo kutokana na vita yake dhidi sya Gaza
Wakati mbio kubwa za baiskeli nchini Hispania zilikumbwa na vurugu za waandamanaji waliopinga ushiriki wa timu ya Israel, mataifa kadhaa ya Ulaya yametishia kususia tukio maarufu la burudani endapo Israel itaruhusiwa kushiriki.
-
Matokeo Chanya ya Ziara ya JMAT-TAIFA Katika Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo Kuhusu Matembezi ya Hiari ya Amani (MHA)
Kwa kutambua mchango huo, JMAT-TAIFA iliishukuru na inaendelea kuishukuru kwa dhati Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ushirikiano wao madhubuti, na walisisitiza kuwa mshikamano huo utaendelea kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa jamii zote za Taifa pendwa la Tanzania
-
-
Kwa upendo wa Wilayat ya Amirul Muuminina (a.s); Sherehe za Umma za Ghadir zinafanyika katika zaidi ya miji 500 na nchi 20 duniani kote
Msemaji wa Kamati ya Sherehe za Umma za Ghadir Khumm alisema kuwa sherehe hii imeenea kwa zaidi ya miji 500 nchini Iran na katika nchi 20 duniani. Mwaka huu, tunatarajia kupika zaidi ya sufuria 30,000 za chakula cha moto, kushirikishwa kwa zaidi ya watumishi 100,000 mjini Tehran, kuwepo kwa mabaraza (Mawa'qib) ya umma 2,400 na kuanzishwa kwa mbuga za michezo kwa watoto milioni moja; yote haya kwa upendo wa Wilaya ya Amirul Momineen (a.s).
-
Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya
Akizungumza katika kipindi cha Sports Extravaganza kinachorushwa na TV47 na kuendeshwa na Tony Kwalanda, Dkt. Gholampour alisema kuwa michezo ni daraja muhimu la kuunganisha mataifa na jamii.