moja kwa mzaha nilimwambia mwanangu “Mwanangu! Kwa nini unanibana sana kuhusu kusali kwa wakati?” Alitabasamu na kusema: «Mama! Ninaogopa tufariki bila kusali kwa wakati na tusipate nafasi ya kurekebisha...»
Mohammad Ali Jamoul, Kamanda wa kikosi cha Makombora cha Harakati ya Hizbullah, ameuawa Kigaidi kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani (drone) lililofanywa na utawala haram wa Kizayuni (Israel). Shambulio hili linaonekana kuwa sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya Israel dhidi ya viongozi na miundombinu ya Hizbullah.