Atapita kila sehemu ya dunia isipokuwa Makka na Madinah, ambazo zitalindwa na Malaika wenye panga.
Hata kama mtu atatumia saa zote za maisha yake kuwahudumia waja wa Mwenyezi Mungu, bado hawezi kuepuka kuhitajia saa moja kwa ajili ya nafsi yake.