Mpito
-
Makundi ya Muqawama Iraq Yalionya Serikali ya Mpito ya Syria Dhidi ya Ushirikiano na Marekani na Israel
Makundi ya Muqawama nchini Iraq yametoa onyo kali kwa serikali ya mpito ya Syria, yakisema kuwa ushirikiano wowote wa kijeshi au kiusalama na Marekani na Israel dhidi ya Hizbullah ya Lebanon utakabiliwa na jibu la kijeshi.
-
Mkuu wa Usalama wa Ikulu wa Venezuela Afukuzwa / Na Kukamatwa kwa Tuhuma za Usaliti
Taarifa za kina kuhusu kinachoendelea Nchini Venezuela bado zinaendelea kutokea, na hali ya kisiasa nchini Venezuela iko wazi kwa mfululizo wa taarifa mpya zinazotoka zikitoa ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusiana na kusalitiwa na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo.
-
Burkina Faso, Mali na Niger Zazindua Operesheni ya Pamoja ya Kijeshi Dhidi ya Makundi ya Kijihadi
Kiongozi wa mpito wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ametangaza kuanza kwa hatua mpya za kijeshi katika eneo la Sahel baada ya nchi yake, kwa kushirikiana na Mali na Niger, kuzindua operesheni ya pamoja inayolenga kukabiliana na makundi ya kijihadi yanayohusishwa na Al-Qaeda na ISIS. Hatua hiyo inakuja katika muktadha wa kuimarishwa kwa muungano wa kijeshi wa nchi hizo tatu, huku zikisisitiza mshikamano wa kiusalama na mwelekeo mpya wa ushirikiano wa kikanda kufuatia kujiondoa kwao katika ECOWAS na kuvunja ushirikiano wa awali na Ufaransa na Marekani.