Muhula
-
Mkwamo katika Bunge la Iraq; mizani ya kisiasa yameelemea kwa Waislamu wa Kishia na Wakurdi
Wakati ambapo Waislamu wa Kisunni wameshindwa kufikia mwafaka juu ya mgombea mmoja, hatima ya urais wa Bunge la Iraq imefungamana zaidi kuliko wakati mwingine wowote na maamuzi pamoja na hesabu za kisiasa za Waislamu wa Kishia na vyama vya Kikurdi.
-
Mahakama ya Juu ya Iraq yavunja Bunge / Hadi kuundwa kwa Baraza jipya la Mawaziri, Serikali itakuwa tu ya “kusimamia mambo ya kila siku”
Mahakama Kuu ya Shirikisho ya Iraq imetangaza rasmi kumalizika kwa muhula wa tano wa Bunge la nchi hiyo, na kuitaja serikali ya sasa kuwa ni “serikali ya kusimamia mambo ya kila siku”, yenye mamlaka tu katika kushughulikia masuala ya kawaida na yasiyoweza kuahirishwa.
-
Paul Biya Mwenye Umri wa Miaka 92 Atangazwa Mshindi wa Uchaguzi wa Urais wa Cameroon | Anaendelea Kutawala mpaka afikishe miaka 100
Wafuasi wa upinzani wameishutumu mamlaka kwa “kuiba kura” na wanasisitiza kutambuliwa kwa Bakary kama mshindi halali wa uchaguzi huo.
-
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s) kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei; Amemteua Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ramezani kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(as) kwa muhula mwingine tena.