Mwanzo
-
Andiko Kamili la Khutba ya Fadak ya Bibi Fātima Zahra (a.s) pamoja na tarjama yake
1. Mwanzo wa Khutba – Malalamiko kuhusu dhulma na msimamo wa watu Kisha hamkungoja hata kidogo ili moyo uliokuwa umejeruhiwa utulie, na hali ile ngumu iwe nyepesi. Bali mliongeza kuni kwenye moto, mkaufukuzia upepo ili uongezeke kuwaka. Mlikuwa tayari kuitikia mwito wa Shetani, mkijiandaa kuzima nuru angavu ya dini ya Mwenyezi Mungu, na kuondoa Sunna za Mtume Muhammad (s.a.w.w) aliyechaguliwa. Kwa kisingizio cha maslahi, mlikuwa mkila kijuujuu na kuficha nia zenu. Mlikuwa mkifanya njama nyuma ya vilima na miti dhidi ya familia yake na watoto wake. Na sisi tulipaswa kustahimili mambo haya yenye uchungu kama kisu chenye makali makali, au mkuki unaopenya tumboni.
-
Ukosoaji wa Mwakilishi wa Hezbollah:
Ukimya wa Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita Kuhusu Uhalifu Mpya wa Utawala wa Kizayuni
Azaldin: Adui tangu mwanzo haikuwa imezingatia kuacha mashambulizi, lakini Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita hadi sasa haijachukua msimamo wowote dhidi ya adui wa Kizayuni.
-
Malawi | Mwanzo Mpya wa Kipindi Kipya: Siku ya Kwanza, Marasimu ya Asubuhi Ikiashiria Matumaini na Mwelekeo wa Mafanikio katika Safari ya Kielimu
Kauli mbiu ya mwanzo mpya ilikuwa: "Elimu ni ufunguo wa mafanikio - tukaze buti tangu mwanzo!"
-
Wa Kwanza Kuitwa Amirul-Muuminina:
Mwenyezi Mungu (s.w.t) Alimpa Ali bin Abi Talib Lakabu ya “Amirul Muuminina”
Ukufungua kurasa za Historia ya Maisha yake safi ya Imam Ali bin Abi Talb (a.s), utamkuta kwamba yeye ni wa mwanzo katika kila kitu, kisha wengine wanafuata nyuma yake katika kitu hicho.