Mwili
-
Taarifa za Hivi Punde:
Kuhusu Kuachiwa kwa Wafungwa Maarufu wa Kipalestina / Hatma ya Mwili wa Shahidi Yahya Sinwar Katika Mkataba wa Kusitisha Mapigano
Sambamba na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Harakati ya Mapambano ya Kipalestina (Muqawama) na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza, vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti tetesi na tafsiri tofauti kuhusu masharti ya makubaliano hayo na namna yatakavyotekelezwa.
-
Ripoti ya UNICEF, Sambamba na Siku ya Mtoto Duniani:
Gaza; Ardhi ya Mauaji Yasiyo ya Kawaida dhidi ya Watoto - Kila Dakika 17, Mtoto Huuwawa au Kupoteza Uwezo Fulani wa Mwili
Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
-
Mazoezi ni Afya: Jamiat Al-Mustafa (s) Yaendeleza Michezo kwa Ajili ya Kuimarisha Afya ya Mwili na Akili
Kwa hakika, michezo na mazoezi haya yamekuwa kielelezo cha namna Uislamu unavyopenda mwili wenye nguvu, akili timamu, na mshikamano wa kijamii, ili kumsaidia Muislamu kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya kidini, kijamii na kiulimwengu.