Mwili
-
Araghchi apongeza msimamo wa Jamhuri ya Congo wa kuiunga mkono Iran katika majukwaa ya kimataifa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameishukuru Jamhuri ya Congo kwa msimamo wake wa kuendelea kuiunga mkono Iran katika majukwaa ya kimataifa, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa Kongo akiwasilisha salamu za rambirambi na mshikamano kwa taifa la Iran.
-
Sheikh Shahriari: Kiongozi Shahidi aliliona umoja wa Umma wa Kiislamu kuwa nguzo ya kukabiliana na ubeberu wa maadui
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu, Hujjatul-Islam Hamid Shahriari, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Sayyid Ali Khamenei, alikuwa akiutazama umoja wa Umma wa Kiislamu kama mkakati wa msingi wa kukabiliana na ubeberu, uistikbari na njama za maadui za kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu.
-
Ratiba ya Hafla za Kuaga na Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu Yatangazwa
Ratiba rasmi ya hafla za kuaga, kuswaliwa na mazishi ya kiongozi shahidi wa Umma wa Kiislamu imetangazwa, huku shughuli hizo zikitarajiwa kufanyika katika miji ya Tehran, Qom na Mashhad.
-
Taarifa za Hivi Punde:
Kuhusu Kuachiwa kwa Wafungwa Maarufu wa Kipalestina / Hatma ya Mwili wa Shahidi Yahya Sinwar Katika Mkataba wa Kusitisha Mapigano
Sambamba na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Harakati ya Mapambano ya Kipalestina (Muqawama) na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza, vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti tetesi na tafsiri tofauti kuhusu masharti ya makubaliano hayo na namna yatakavyotekelezwa.
-
Ripoti ya UNICEF, Sambamba na Siku ya Mtoto Duniani:
Gaza; Ardhi ya Mauaji Yasiyo ya Kawaida dhidi ya Watoto - Kila Dakika 17, Mtoto Huuwawa au Kupoteza Uwezo Fulani wa Mwili
Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
-
Mazoezi ni Afya: Jamiat Al-Mustafa (s) Yaendeleza Michezo kwa Ajili ya Kuimarisha Afya ya Mwili na Akili
Kwa hakika, michezo na mazoezi haya yamekuwa kielelezo cha namna Uislamu unavyopenda mwili wenye nguvu, akili timamu, na mshikamano wa kijamii, ili kumsaidia Muislamu kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya kidini, kijamii na kiulimwengu.