Ndugu
-
Araghchi:
Balozi Mkuu wa Iran katika Van utafunguliwa / Chanzo kikubwa zaidi cha tishio kwa Syria ni kutoka kwa utawala wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema: Iran na Uturuki si tu nchi jirani, bali ni nchi mbili rafiki na ndugu zenye ushirikiano mkubwa sana.
-
Qalibaf: Pakistan ni rafiki wa kweli katika nyakati zote
Spika wa Bunge la Iran ameandika kwenye ukurasa wake binafsi katika mitandao ya kijamii kuwa:“Kwa mwaliko maalumu wa Mheshimiwa Spika wa Bunge la Kitaifa la Pakistan, nimeelekea nchini humo. Kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya mataifa haya mawili ndugu - hususan katika nyanja za ushirikiano wa kiuchumi na kiusalama - kutakuwa ndiyo mhimili mkuu wa ziara hii.”
-
Mahojiano na Mwanaharakati Mnyemeni na Shirika la Habari la ABNA;
Kuhusu Utambulisho wa Kiyemen na Sifa za Sayyid al-Houthi hadi kwenye “Bendera ya Yamen” / Kizazi kijacho nchini Yemen kitakuwa kizazi imara
Sisi na Iran ni Mwili Mmoja Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kindugu uliyojengwa juu ya msingi wa Uislamu, si madhehebu. Tunafuata aya tukufu isemayo: «إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ» - “Hakika waumini ni ndugu.”
-
Amir Pourdastan: Moyo wa taifa la Iran unapaswa kujitolea kwa vikosi vya jeshi
Mkuu wa Kituo cha Tafiti za Kimkakati cha Jeshi alisema: Wananchi wa Iran wawe na moyo thabiti na wawe na utulivu, na wafahamu kuwa watoto wao na ndugu zao walioko jeshini wana ujuzi na maandalizi ya kutosha.
-
Tanzania Yaomboleza Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Job Yustino Ndugai
Katika salamu za rambirambi, pole zimetolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla.