Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini ya kuharibu imani ya mtu kwa maisha yote katika wakati wa mwisho. Ikiwa mtu hana imani thabiti, kuna hatari kwamba atarudi nyuma kutoka kwa imani yake na kufa bila dini.
Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu, kwa mnasaba wa kuwasili kwa Nowruz ya mwaka mpya wa 1404 unaosadifiana na Mikesha ya Nyusiku Tukufu za Lailatul Qadr, katika ujumbe wake, alizingatia fahari ya Iran kuwa ni faraja kwa maisha ya kila mmoja wa Wananchi.