Nishati
-
Nchi Wanachama wa D-8 Zakubaliana Kupanua Ushirikiano wa Nishati Kupitia Azimio la Baku
Mawaziri na wawakilishi wa nchi wanachama wa D-8 wamepitisha Azimio la Baku, wakisisitiza kuimarisha ushirikiano katika usalama wa nishati, nishati jadidifu na maendeleo ya miundombinu ya pamoja ili kukabiliana na changamoto za sasa za sekta ya nishati duniani.
-
Marekani Yakabiliwa na Shinikizo la Gharama za Maisha, Onyo la Mgogoro wa Chakula Latolewa
Kupanda kwa bei za vyakula, nishati na huduma muhimu kumeongeza mzigo kwa familia nyingi za Marekani, huku wachambuzi wakionya kuhusu hatari ya kuongezeka kwa changamoto za usalama wa chakula na gharama za maisha, jambo linalozidisha mjadala kuhusu mustakabali wa “Ndoto ya Marekani” katika mazingira ya hali ngumu ya kiuchumi.
-
Iraq: Hatutaacha urutubishaji wa urani
Iran haitakoma kurutubisha urani; ni haki yake kama taifa huru, shughuli zote zikiwa salama na zikifuatiliwa na IAEA, na mazungumzo na Marekani yanaendelea bila kujadiliwa kwenye vyombo vya habari.
-
Urusi Yatengeneza Njiwa-Droni Wenye Chipu za Ubongo
Bio-drones za Nairi Group zazua hofu za kijeshi kwa teknolojia ya udhibiti wa neva
-
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran lafichua mafanikio matatu makubwa ya nyuklia
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetangaza mafanikio matatu makubwa ya nyuklia: kuzindua kichochezi cha kwanza cha viwandani kilichotengenezwa ndani ya nchi, kuanza uzalishaji wa hali ya juu wa Carbon-13, na kurejesha cyclotron kwa ajili ya uzalishaji wa dawa za mionzi licha ya vikwazo.
-
Rais Dkt. Pezeshkian azuru Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran na kupongeza mafanikio ya wanasayansi wa sekta ya nyuklia katika huduma za afya
Rais alisema: “Mafanikio haya ni uthibitisho wa uwezo wa vijana na wataalamu wa Kiirani ambao, licha ya vikwazo vya kigeni, wameweza kuendeleza miradi mikubwa ya nyuklia kwa manufaa ya mwanadamu.”
-
Sayyid Ali Khomeini: “Kama Ubalozi wa Marekani usingelivamiwa, leo tusingekuwa na Makombora wala ishati ya nyuklia"
Akiisisitizia kauli kwamba “uvamizi wa ubalozi wa Marekani uliimarisha uhuru wa Iran,” alisema: “Kama tukio hilo lisingetokea, leo hii Jamhuri ya Kiislamu isingekuwepo, na nchi yetu isingepata teknolojia ya makombora na nishati ya nyuklia, kwani Marekani ilikuwa inapinga maendeleo haya.”
-
Baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake - Je, Afghanistan inakaribia kujitegemea?
Kabul imeanza safari ya kuzalisha megawati 10,000 za umeme baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake, mpango unaoweza kuibadilisha kutoka nchi inayoagiza umeme hadi kuwa muuzaji wa nishati katika ukanda.