Paris
-
Ofisi ya gazeti yashambuliwa baada ya kumdhihaki mtume Muhammad s.a.w Ujerumani
Ofisi ya gazeti la Hamburger Morgenpost, nchini ujerumani imechomwa moto baada ya kuchapisha vikatuni vya mtume Muhammad s.a.w.
-
Picha rais wa Venezuela akizungumza na kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya Iran
Hizi ni picha za rais wa Venezuela Mh: Nicolas Madurokatika mkutano wake na kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya Iran Sayyid Ali Khamenei, Venezuela na Iran zimekuwa na mahusiano mazuri kwa muda mrefu hasa katika kipindi cha urais wa Mahmud Ahmad Nejad wa Iran na hayati Hugo Chaves wa Venezuela.
-
Hofu ya mashambulizi mengine ya kigaidi yatanda Ufaransa
Ufaransa imeelezea hofu juu ya uwezekano wa kutokea mashambulizi mengine ya kigaidi nchini humo, baada ya yale yaliyotokea wiki hii mjini Paris
-
Mwanamke anayesakwa kwa Udi na Uvumba Ufaransa
Polisi ya Ufaransa Jumamosi ya leo iko kwenye msako mkali wa mjane wa mmojawapo wa watuhumiwa waliouwawa waliohusika na wimbi la mashambulizi mjini Paris ambaye binafsi anahesabiwa kuwa ni mtu wa hatari sana.
-
Washukiwa wa shambulio la Paris wauawa
Majeshi ya usalama nchini Ufaransa, Ijumaa yakitumia mabomu na bunduki yalifikisha mwisho siku tatu za ugaidi mjini Paris, wakiwauwa ndugu wawili wenye mahusiano na kundi la al-Qaeda.