“Udhibiti wa Bahari ya Hormuz uko mikononi mwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Vifaa vinavyotumika dhidi ya wananchi wa Iran haviwezi kupita katika Bahari ya Hormuz.”
Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa ukiukwaji wa makubaliano ya usitishaji vita na mzingiro wa baharini unaofanywa na Marekani umechangia kuongezeka kwa mvutano katika eneo. Amesisitiza kuwa Iran itaendelea kutetea haki za wananchi wake kwa nguvu zote na kwamba vikosi vya jeshi viko tayari kukabiliana na changamoto yoyote.
Mtume (saww) anatuambia:
Ikiwa unampenda Fatima (a.s) kwa moyo wa kweli, basi upendo huo utakuwa mwanga, kinga, na msaada wako katika hatua ngumu zaidi za Akhera.