Saudia
-
Mchango wa Dola Milioni 6.5 wa Adnan Ar’ur Wazua Gumzo Kubwa Mitandaoni: Fedha hizo Zimetoka Wapi?
Adnan Ar’ur, mwanazuoni wa Kisalafi kutoka Syria, amezua mjadala mpana baada ya kutangaza kuchangia dola milioni 6.5 kwa ajili ya kampeni ya “Fidaa Li-Hamāh”. Taarifa hii ilisababisha mijadala mingi katika Syria na kwenye mitandao ya kijamii.
-
Safari ya kuelekea Ikulu ya White House: Kuanzia Mikataba ya Kijeshi hadi Mchakato wa Kuweka Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni
Kabla ya safari ya Mrithi wa Kiti cha Enzi cha Ufalme wa Saudi, mazungumzo kati ya Saudia na Marekani, ambayo yanahusisha mkataba wa ulinzi na uuzaji wa ndege za kivita za F-35, yamesababisha wasiwasi kuhusu kupuuzia haki za Wapalestina. Wataalamu wengi wanaona safari hii kama maandalizi ya kuanza mchakato wa kuweka uhusiano wa kawaida kati ya Saudia na utawala wa Kizayuni.
-
Kwanini Idadi ya Mazuwari Karbala Inaongezeka?:
Ukarimu wa Iraq kwa Mazuwwari na Ukandamizaji wa Saudia kwa Mahujaji: Tofauti ya Idadi ya Mahujaji na Mazuwari
Uhuru wa Kiimani -Nchini Iraq, kila Muumini ana uhuru wa kutekeleza ibada zake kulingana na Dhehebu lake bila bughudha. Hali ni tofauti na Saudi Arabia ambapo Mahujaji wengine huadhibiwa wakituhumiwa kufanya vitendo vya “shirk” kwa mujibu wa mtizamo wao.