Gazeti la Sydney Morning Herald lilithibitisha kuwa katika tukio hili watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa, huku idadi kubwa ya washiriki wa sherehe hizo wakikimbilia maeneo tofauti na kujificha.
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”