Shambulizi
-
Jibu la Kukataa la Wataalamu wa Kijeshi wa Marekani kwa Ombi Lisilo la Kawaida la Trump
Trump aliwaomba makamanda wa Marekani watengeneze shambulizi la haraka lisilogeuza vita kuwa vya muda mrefu. Wataalamu wa kijeshi wakamjibu: hakuna chaguo kama hilo linalowezekana. Wakaeleza kuwa shambulizi kubwa haliwezi kuepuka kugeuka kuwa vita ya kuchosha na ya muda mrefu.
-
Dhulfiqar: Kombora la Kivita la Iran Linaloashiria Makali ya Imam Ali (AS)
Israel tayari inatambua maana ya Dhulfiqar na imekwisha kuonja makali yake, huku Iran ikiwa imeapa kupigana na Israel vita vya mwisho endapo kutakuwa na shambulizi lolote toka kwa adui.
-
Shambulio dhidi ya Maadhimisho ya Hanukkah Sydney;
Matokeo ya Miaka Miwili ya Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wanawake na Watoto Gaza na Uwezekano wa Kujijeruhi kwa Wazayuni!
Gazeti la Sydney Morning Herald lilithibitisha kuwa katika tukio hili watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa, huku idadi kubwa ya washiriki wa sherehe hizo wakikimbilia maeneo tofauti na kujificha.
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya Al-Fashir ni mfano wa mauaji ya kimbari
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”