Shambulizi
-
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu wa Iran Wachapisha Picha za Hangar za Ndege za Kivita za Marekani Zilizoharibiwa Nchini Jordan
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran wamechapisha picha zinazoonyesha uharibifu mkubwa katika hangar za ndege za kivita za Marekani aina ya F-15 na F-16 katika kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Jordan, kufuatia shambulizi la makombora na ndege zisizo na rubani.
-
Vyombo vya Habari vya Iran: Picha za Satelaiti Zathibitisha Uharibifu wa Hangar ya Ndege za Kivita katika Kambi ya Muwafaq Al-Salti Jordan
Vyombo vya Habari vya Iran vimeripoti kuwa picha za satelaiti zinaonyesha shambulizi la usahihi lililosababisha kuharibiwa kwa hangar ya ndege za kivita katika Kambi ya Muwafaq Al-Salti nchini Jordan, ambako kuna wanajeshi wa Marekani.
-
Afisa Afariki katika Jeshi la Lebanon Kufuatia Shambulio la Kizayuni Kusini mwa Lebanon
Afisa wa Jeshi la Lebanon, Wissam Sabra, ameuawa pamoja na dereva wake katika shambulio la anga lililoripotiwa kufanywa na “kikosi cha Kizayuni”, lililolenga gari lao katika barabara ya al-Khardali–al-Jarmaq Road karibu na eneo la Sidon.
-
Iran Yadai Meli za Marekani Zimeondoka Bahari ya Oman Baada ya Onyo la Kijeshi
Jeshi la Majini la Iran limetangaza kuwa meli za kivita za Marekani, USS Truxtun na USS Mason, zimeondoka Bahari ya Oman kuelekea Bahari ya Hindi kufuatia kile Iran inachokiita hatua za onyo za kijeshi zilizochukuliwa dhidi yao.
-
IRGC Yatangaza Mashambulizi ya Kulipiza Kisasi Dhidi ya Kambi ya Marekani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limesema limelenga kambi ya kijeshi ya Marekani baada ya shambulizi lililoripotiwa kufanywa karibu na Uwanja wa Ndege wa Bandar Abbas, likionya kuwa uchokozi wowote dhidi ya Iran utakabiliwa na majibu makali zaidi.
-
Jibu la Kukataa la Wataalamu wa Kijeshi wa Marekani kwa Ombi Lisilo la Kawaida la Trump
Trump aliwaomba makamanda wa Marekani watengeneze shambulizi la haraka lisilogeuza vita kuwa vya muda mrefu. Wataalamu wa kijeshi wakamjibu: hakuna chaguo kama hilo linalowezekana. Wakaeleza kuwa shambulizi kubwa haliwezi kuepuka kugeuka kuwa vita ya kuchosha na ya muda mrefu.
-
Dhulfiqar: Kombora la Kivita la Iran Linaloashiria Makali ya Imam Ali (AS)
Israel tayari inatambua maana ya Dhulfiqar na imekwisha kuonja makali yake, huku Iran ikiwa imeapa kupigana na Israel vita vya mwisho endapo kutakuwa na shambulizi lolote toka kwa adui.
-
Shambulio dhidi ya Maadhimisho ya Hanukkah Sydney;
Matokeo ya Miaka Miwili ya Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wanawake na Watoto Gaza na Uwezekano wa Kujijeruhi kwa Wazayuni!
Gazeti la Sydney Morning Herald lilithibitisha kuwa katika tukio hili watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa, huku idadi kubwa ya washiriki wa sherehe hizo wakikimbilia maeneo tofauti na kujificha.
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya Al-Fashir ni mfano wa mauaji ya kimbari
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”