Sinai

  • Misri Yaweka Maelfu ya Wanajeshi Sinai

    Misri Yaweka Maelfu ya Wanajeshi Sinai

    Shirika la Redio na Televisheni la utawala wa Kizayuni limedai kwamba Misri, sambamba na kuongezeka kwa operesheni za kijeshi za Israel huko Gaza, imetuma maelfu ya wanajeshi na vifaa vya kijeshi katika eneo la kaskazini mwa Jangwa la Sinai lililoko mpakani na Ukanda wa Gaza na Israel.