Balozi wa Pakistan huko Tehran ametangaza kutoa miongozo mipya ya utekelezaji kutoka Islamabad kwa ajili ya kukuza mchakato wa kubadilishana bidhaa (barter) na Iran, na kuonyesha matumaini kwamba hatua hii itasaidia kuongeza kiwango cha biashara kati ya pande mbili na kuimarisha msingi wa kiuchumi wa nchi zote mbili.
Kiongozi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan ameeleza kuwa:
> “Hadi pale ambapo suala la Kashmir halitatatuliwa kwa mujibu wa maazimio ya Umoja wa Mataifa, kufanikisha amani ya kudumu katika ukanda huu kutabaki kuwa ni ndoto ya mchana (serabu) tu.”