Suluhisho
-
Iran Yalaani Azimio la Baraza la Magavana la IAEA, Yasisitiza Itajibu na Kulinda Haki Zake
Ujumbe wa Iran mjini Vienna umesema kuwa azimio la Baraza la Magavana la IAEA dhidi ya Iran ni la kisiasa na lisilo la kitaalamu, ukisisitiza kuwa Tehran itajibu hatua hiyo ili kulinda haki zake zisizoweza kuondolewa.
-
Putin: Russia Yako Tayari Kuchangia Suluhisho la Suala la Iran
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA -, Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesema kuwa Moscow iko tayari kuchangia katika kutafuta suluhisho la mgogoro unaohusiana na Iran kutokana na uhusiano wake wa karibu na Tehran, akisisitiza kuwa masuala ya Iran yana athari za kimataifa.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa: Israel Imalize (ikomeshe) Uvamizi wa Ardhi ya Lebanon
Sébastien Lecornu amesema kuwa hakuna suluhisho la kudumu kwa mzozo wa kikanda unaohusisha Iran bila kushughulikia kwa uzito suala la Lebanon, akitoa wito kwa Israel kusitisha operesheni zake na kuondoa uwepo wake katika ardhi ya Lebanon.
-
Iraq: Hatutaacha urutubishaji wa urani
Iran haitakoma kurutubisha urani; ni haki yake kama taifa huru, shughuli zote zikiwa salama na zikifuatiliwa na IAEA, na mazungumzo na Marekani yanaendelea bila kujadiliwa kwenye vyombo vya habari.
-
Washington Post: Ulaya iko katika ukingo wa kupungua kwa idadi ya watu kwa mara ya kwanza kwa njia endelevu tangu Zama za Kati
Washington Post imetahadharisha katika ripoti yake kwamba Ulaya inakabiliwa na janga la idadi ya watu; janga hili linaweza kuathiri nguvu kazi, ukuaji wa uchumi, na uthabiti wa kijamii wa bara hilo.
-
Mchakato wa kubadilishana bidhaa; suluhisho jipya la Pakistan kwa kukuza uhusiano wa kibiashara na Tehran
Balozi wa Pakistan huko Tehran ametangaza kutoa miongozo mipya ya utekelezaji kutoka Islamabad kwa ajili ya kukuza mchakato wa kubadilishana bidhaa (barter) na Iran, na kuonyesha matumaini kwamba hatua hii itasaidia kuongeza kiwango cha biashara kati ya pande mbili na kuimarisha msingi wa kiuchumi wa nchi zote mbili.
-
Kiongozi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Suluhisho la Kashmir ni Sharti la Amani ya Kudumu katika Ukanda huu
Kiongozi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan ameeleza kuwa: > “Hadi pale ambapo suala la Kashmir halitatatuliwa kwa mujibu wa maazimio ya Umoja wa Mataifa, kufanikisha amani ya kudumu katika ukanda huu kutabaki kuwa ni ndoto ya mchana (serabu) tu.”