Theluthi
-
Theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia
Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
-
Afisa wa Jeshi la Israel: Theluthi Moja ya Wanajeshi Wanakabiliwa na Matatizo ya Akili
Ripoti rasmi za utawala wa Kizayuni zinaonyesha kuongezeka kwa kiwango kisicho cha kawaida cha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanajeshi. Kwa mujibu wa Tamar Shimony, Naibu Mkuu wa Idara ya Urejeshaji (Rehabilitation) katika Wizara ya Vita ya Israel, zaidi ya wanajeshi 85,000 wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
-
Utafiti Mpya: Wanawake Waislamu Wakabiliwa na Kiwango Kikubwa cha Kutokuwa Salama Katika Usafiri wa Umma Uingereza
Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi mpya, wanawake Waislamu nchini Uingereza wanakabiliana na hisia kubwa ya kutokuwa salama na viwango vya juu vya unyanyasaji katika mitandao ya usafiri wa umma. Ripoti inaonyesha kuwa wengi wao hulazimika kubadili mwenendo wao wa safari kutokana na hofu ya usalama wa kibinafsi—ikiwemo kuepuka kusafiri nyakati fulani, kubadilisha mavazi yao, au kutumia teksi kwa gharama zao wenyewe.
-
Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani: Msihadaike, hali ya "Israeli" ni mbaya zaidi kuliko watu wanavyodhani
"Israeli" haikuwa tayari na majibu ya Iran.
-
Watu milioni 10 nchini Afghanistan wanakosa maji safi ya kunywa
Katika taarifa yake ya hivi punde kuhusu tatizo la maji nchini Afghanistan, UNAMA ilisema kuwa zaidi ya watu milioni 10, karibu theluthi moja ya wakazi wa Afghanistan, hawana maji safi ya kunywa na wanatumia vyanzo vya maji visivyo safi.