Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa vikosi vya nchi hiyo vinafanya operesheni za kujihami kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwamba malengo yaliyoshindikana kufikiwa kwa vikwazo na vita hayawezi kupatikana kwa kuongeza mashinikizo ya kijeshi.
Ushahidi wa Riwaya za Kisunni: Shia pia wametaja kuwa baadhi ya maelezo kuhusu tukio la shambulio la nyumba ya Bibi Fatimah (a.s.) na Imam Ali (a.s.) yanapatikana hata katika baadhi ya vitabu vya Kisunni, na wamekusanya riwaya zaidi ya 84 kutoka kwa wanazuoni wa Kisunni kuhusu tukio hilo (kama ilivyokusanywa katika al-Hujūm ʿalā Bayt Fāṭimah (a.s).