Mwakilishi mwenye mamlaka kamili wa Ayatollah Sistani nchini Iran amesema kuwa Arbaeen ni fursa kubwa sana kwa wasimamizi na wenye dhamana wa tukio hili la kimataifa, na hawapaswi kupuuzia au kughafilika na thawabu na malipo makubwa yanayopatikana kutokana nalo.
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 katika kipimo cha Richter liliikumba mkoa wa Kunar mashariki mwa Afghanistan, na hadi sasa limesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,200.