Mkutano wa Sharm el-Sheikh umehudhuriwa na watu kama Donald Trump, Emmanuel Macron, na viongozi wengine wa Magharibi ambao kwa hakika ni washirika wa mauaji ya halaiki ya Gaza.
Ismail Al-Thawabete amesema: kuomba radhi rasmi na kuanzisha uchunguzi na adui hakufuti wajibu wa kuthibitisha ukweli wala si sababu ya kutoshitaki. Uhalifu huu unahitaji kudai kufanyika kwa uchunguzi huru na wa wazi na chombo cha kimataifa kisichoegemea upande wowote, si kwa utawala wa kigaidi wa Israel.