Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na Oman ndizo pekee zenye haki ya mamlaka juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz, akisisitiza kuwa hakuna nchi nyingine inayopaswa kuingilia usimamizi wa njia hiyo muhimu ya baharini.
"serikali ya Marekani kwa sasa inachunguza chaguzi mbalimbali ili kufanikisha lengo hili la kimkakati, na ikiwezekana hata “kutumia jeshi” ni miongoni mwa uwezekano unaozingatiwa na Ikulu ya White House".