Ushiriki
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mazishi ya Mamilioni ya “Mbeba Bendera wa Muqawama” Nchini Iraq Yamebadilisha Mizani ya Madola ya Kiburi
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amewapongeza wananchi wa Iraq kwa kuandaa mazishi makubwa na ya kihistoria ya kiongozi shahidi wa Muqawama, akisisitiza kuwa ushiriki wa mamilioni ya wananchi wa Iran na Iraq umeonesha mshikamano wa kina na undugu wa mataifa hayo mawili na kuvuruga njama za maadui za kuleta mgawanyiko.
-
Wizara ya Usalama ya Iran Yapongeza Mahudhurio Makubwa ya Umma wa Kiislamu Katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Wizara ya Usalama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ya kupongeza ushiriki mkubwa wa wananchi, Marjaa wa dini, serikali na wajumbe kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu katika mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ikieleza kuwa tukio hilo limeonyesha umoja, uaminifu na mshikamano wa Umma wa Kiislamu.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba al-Husseini Khamenei, Atoa Tamko Maalumu Kufuatia Mazishi ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khame
Katika tamko lake kufuatia mazishi makubwa ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba al-Husseini Khamenei, amesisitiza kuendelezwa kwa njia ya Imam Husayn (a.s.), kulinda urithi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kuendelea kudai haki kwa damu za mashahidi.
-
Ratiba ya Mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran na Iraq Yatangazwa Rasmi
Msemaji wa Kamati ya Maandalizi ya Kuaga, Kusindikiza na Kuzika mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametangaza ratiba kamili ya shughuli hizo zitakazofanyika katika miji ya Tehran, Qum, Mashhad, Najaf na Karbala. Shughuli hizo zinatarajiwa kushuhudiwa na mamilioni ya waombolezaji kutoka Iran na mataifa mbalimbali duniani.
-
Waislamu wa Argentina Wakati wa Ramadhani: Hali ya Kipekee na Ushiriki wa Kipekee wa Kiimani
Mwezi wa Ramadhani nchini Argentina unaenda sambamba na siku za kufunga zinazodumu chini ya saa 9, jambo linalotoa hali tofauti ya kiroho na kimvuto cha kiimani. Hali hii inarahisisha waislamu kushiriki kwa uhuru zaidi katika ibada zao za Ramadhani na kuimarisha mshikamano wa kijamii na kifamilia.
-
Juhudi zinaendelea kuiadhibu Israel katika michezo kutokana na vita yake dhidi sya Gaza
Wakati mbio kubwa za baiskeli nchini Hispania zilikumbwa na vurugu za waandamanaji waliopinga ushiriki wa timu ya Israel, mataifa kadhaa ya Ulaya yametishia kususia tukio maarufu la burudani endapo Israel itaruhusiwa kushiriki.
-
Uwajibikaji na Utawala Bora | Bi.Leila Bhanj Aiwakilisha JMAT-TAIFA Katika Kikao cha Mihimili ya Sheria Dodoma - Tanzania
Ushiriki wa Bi.Leila katika kikao hicho umetajwa kuwa ni uwakilishi mkubwa wa JMAT-TAIFA, ambapo mijadala ilihusu masuala ya utawala bora na uwajibikaji katika mfumo wa sheria.
-
Ushiriki wa Vikundi vya Jihadi na Wananchi katika Mahema ya RASHT hadi Mwisho wa Mwezi wa Safar
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (SEPAH) wa Eneo Kuu la RASHT, Kanali Hassan Amini, ametangaza kuhusu kuanzishwa kwa mahema ya wananchi katika barabara ya watembea kwa miguu ya kiutamaduni ya Manispaa ya Rasht kwa mwaka wa nne mfululizo, na kusema kuwa mahema haya, yenye programu za kitamaduni, huduma na kidini, yatapokea wageni na wapenzi wa Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) hadi mwisho wa mwezi wa Safar.
-
Kurefushwa kwa Muda wa Kutuma Kazi za Mkutano wa Kitaifa wa Swala hadi Septemba 31
Mwenyekiti wa Kamati ya Kisayansi ya Mkutano wa Kitaifa wa Kusimamisha Swala ametangaza kuwa muda wa kutuma kazi za utafiti na maandiko kwa ajili ya mkutano huo umeongezwa hadi tarehe 31 Septemba, kutokana na mwitikio mkubwa wa watafiti na washiriki.