17 Septemba 2025 - 23:27
Uwajibikaji na Utawala Bora | Bi.Leila Bhanj Aiwakilisha JMAT-TAIFA Katika  Kikao cha Mihimili ya Sheria Dodoma - Tanzania

Ushiriki wa Bi.Leila katika kikao hicho umetajwa kuwa ni uwakilishi mkubwa wa JMAT-TAIFA, ambapo mijadala ilihusu masuala ya utawala bora na uwajibikaji katika mfumo wa sheria.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi, Uwajibikaji na Mahusiano ya JMAT-TAIFA, Mhe. Bi Leila Bhanj, ameshiriki katika kikao kazi maalumu kilichokutanisha mihimili ya nchi upande wa sheria.

Uwajibikaji na Utawala Bora | Bi.Leila Bhanj Aiwakilisha JMAT-TAIFA Katika  Kikao cha Mihimili ya Sheria Dodoma - Tanzania

Kikao hicho kiliongozwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. George Masaju, kwa kushirikiana na Jaji Kiongozi, Mhe. Siyani, pamoja na Jaji wa Rufaa Tanzania, Mhe. Mwarija.

Uwajibikaji na Utawala Bora | Bi.Leila Bhanj Aiwakilisha JMAT-TAIFA Katika  Kikao cha Mihimili ya Sheria Dodoma - Tanzania

Ushiriki wa Bi.Leila katika kikao hicho umetajwa kuwa ni uwakilishi mkubwa wa JMAT-TAIFA, ambapo mijadala ilihusu masuala ya utawala bora na uwajibikaji katika mfumo wa sheria.

Uwajibikaji na Utawala Bora | Bi.Leila Bhanj Aiwakilisha JMAT-TAIFA Katika  Kikao cha Mihimili ya Sheria Dodoma - Tanzania

Kikao hicho kimefanyika Dodoma, Mji Mkuu wa Tanzania.

Habari hii imetolewa kwa hisani kubwa ya:
Abdillah Fundi – Naibu Mkurugenzi Utalii na Utamaduni.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha