Utaratibu
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi Awasili Oman kwa Mazungumzo kuhusu Mlango Bahari wa Hormuz na Hali ya Kanda ya Mashariki ya Kati
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amewasili mjini Muscat, Oman, kwa ziara ya kidiplomasia inayolenga kujadili usimamizi wa Mlango wa Hormuz, maendeleo ya kikanda na kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Oman.
-
Mali yaanzisha ada kubwa ya viza kwa raia wa Marekani kufikia dola 10,000
Serikali ya Mali imeamua “kuanzisha utaratibu wa viza wa kisawa” kwa raia wa Marekani wanaoingia nchini humo
-
Usimamizi wa Uingiaji wa Maashura ya Kiirani Nchini Iraq Kufanywa na Ataba Tukufu ya Husseiniyya
Kitengo cha Forodha na Mipaka kinachohusiana na Idara ya Mahusiano ya Umma cha Ataba Tukufu ya Husseiniyya, ambacho kimepewa majukumu haya, kina uzoefu wa zaidi ya miaka 8 katika uwanja huu na kimekuwa kikifanya kazi kwa ufanisi mkubwa hata katika mazingira magumu zaidi ili kuhakikisha kuingia kwa maashura mjini Karbala kunafanyika kwa utaratibu na urahisi.
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.