Vitengo
-
Jeshi la Iran Latangaza Kusambaza Vikosi Maalumu vya Mwitikio wa Haraka Mipakani
Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikosi vya mwitikio wa haraka, vikosi maalumu na vikosi vya mashambulizi vimepelekwa katika maeneo ya mipakani ili kuimarisha usalama na kuzuia vitisho vyovyote dhidi ya Iran.
-
Mkuu wa Jeshi la Iran Amir Hatami Akikagua Ngome za Kijeshi za Mipakani pamoja na Brigedi za Jeshi la Ardhini
Ziara hii inakuja wakati Iran inasisitiza kuimarisha usalama wa mipaka yake na kuonyesha utayari wa jeshi katika kukabiliana na changamoto za kijeshi bila kukosa tahadhari ya kisiasa, hasa kutokana na mvutano uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kwanini Idadi ya Mazuwari Karbala Inaongezeka?:
Ukarimu wa Iraq kwa Mazuwwari na Ukandamizaji wa Saudia kwa Mahujaji: Tofauti ya Idadi ya Mahujaji na Mazuwari
Uhuru wa Kiimani -Nchini Iraq, kila Muumini ana uhuru wa kutekeleza ibada zake kulingana na Dhehebu lake bila bughudha. Hali ni tofauti na Saudi Arabia ambapo Mahujaji wengine huadhibiwa wakituhumiwa kufanya vitendo vya “shirk” kwa mujibu wa mtizamo wao.
-
Kusambaratishwa kwa Vitengo 3 vya Kigaidi vya ISIS Nchini Libya
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.