Ziara hii inakuja wakati Iran inasisitiza kuimarisha usalama wa mipaka yake na kuonyesha utayari wa jeshi katika kukabiliana na changamoto za kijeshi bila kukosa tahadhari ya kisiasa, hasa kutokana na mvutano uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.
Uhuru wa Kiimani -Nchini Iraq, kila Muumini ana uhuru wa kutekeleza ibada zake kulingana na Dhehebu lake bila bughudha. Hali ni tofauti na Saudi Arabia ambapo Mahujaji wengine huadhibiwa wakituhumiwa kufanya vitendo vya “shirk” kwa mujibu wa mtizamo wao.