Vladimir Putin
-
Netanyahu Aomba Msaada wa Urusi Kutuliza Iran Kuhusu Hofu ya Mashambulizi
Inadaiwa kuwa Netanyahu alimwomba Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kufikisha ujumbe huo kwa viongozi wa Iran.
-
Ukraine Yashambulia Makaazi ya Putin kwa Ndege Droni 91 / Trump Ashtuka
Ikulu ya Kremlin jioni ya Jumatatu ilitangaza kuwepo kwa mawasiliano ya simu kati ya marais wa Urusi na Marekani, na kubainisha kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, alishtushwa na shambulio la ndege zisizo na rubani (droni) la Ukraine dhidi ya makaazi ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin.
-
Putin Aahidi Urusi Kuchukua Eneo la Donbas kwa Njia Zote, Wakati Waukrainia Wakiandaa Mazungumzo Za Amani na Marekani
Putin alifika New Delhi, India, Alhamisi, ambapo alikaribishwa na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, siku mbili tu baada ya mkutano wake katika eneo la Kremlin na ujumbe wa Marekani ulioongozwa na mwakilishi maalum Steve Witkoff.
-
Iran yashuku ujumbe wa Netanyahu kuhusu kutoshambulia tena
"Vikosi vya ulinzi vya Iran vipo katika hali ya tahadhari ya juu kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa hila kutoka Israel, na hatuamini nia hizi".