Vyama
-
Katika ujumbe kwa Mkutano wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; Kiongozi wa Mapinduzi:
Hitaji kuu la dunia leo ni mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu / Shambulio la Marekani lilishindwa mbele ya ujasiri wa vijana wa Iran
Ayatollah Khamenei, katika ujumbe wake kwa Mkutano wa 59 wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya, amesisitiza kuwa sababu kuu ya msukosuko na wasiwasi wa madhalimu wafisadi si suala la nyuklia, bali ni kuinuliwa kwa bendera ya kupinga mfumo usio wa haki na utawala wa mabavu wa mfumo wa ubeberu duniani, pamoja na mwelekeo wa Iran ya Kiislamu kuelekea kujenga mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu.
-
Habari Kuhusu Makubaliano ya “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” Juu ya Mgombea wa Uwaziri Mkuu
Vyanzo vya kisiasa vya Iraq vimeripoti kuwepo kwa makubaliano ya awali miongoni mwa vyama vinavyounda muungano wa “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” kuhusu uteuzi wa mgombea wa kuongoza serikali ijayo ya nchi hiyo.
-
Imam wa Sala ya Ijumaa wa Baghdad:
"Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje
-
Sauti za Mshikamano wa Mexico na Palestina katika Barabara za Jiji Kuu
Maelfu ya wananchi mjini Mexico City waliungana katika maandamano makubwa yaliyopewa jina “Mexico kwa Palestina”, wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani, huku wakidai kusitishwa kwa mauaji ya kimbari Gaza na kutumwa haraka kwa misaada ya kibinadamu.
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Jumuiya za Kisayansi za Hawza, ni mahala salama kwa mawazo mapya na safi
Ayatollah Nouri Hamedani Marjii Taqlid wa Madhehebu ya Shia ametoa ujumbe wake katika Mkutano wa vyama (jumuiya) vya Kisayansi vya Seminari (Hawza) ya Qom.