Wall Street Journal
-
WSJ Yadai UAE Ilifanya Mashambulizi ya Anga Dhidi ya Iran Wakati wa Vita
Ripoti ya Wall Street Journal imedai kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu ulifanya makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Iran kuanzia siku za mwanzo za vita na kuendelea hadi baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano mwezi Aprili, madai yaliyoibua mjadala kuhusu nafasi ya mataifa ya Ghuba katika mzozo huo.
-
Vyombo vya Habari vya Kimataifa: Ujumbe wa kuzuia wa Iran kwa Marekani na Israel ni wazi na thabiti
Vyombo vya habari vya kimataifa vinaripoti kuwa ujumbe wa kuzuia wa Iran kwa Marekani na Israel ni wazi na thabiti. Iran ina uwezo wa makombora unaoweza kujibu kila kituo cha kijeshi katika umbali wowote. Pentagon inaweza kufanya mashambulizi madogo, lakini haina maandalizi ya kutosha ya kukabiliana na majibu ya Iran na inahitaji kuimarisha mifumo ya ulinzi katika Mashariki ya Kati.
-
Wall Street Journal: Nguvu ya Makombora ya Iran Yaweza Kuipatia Marekani na Washirika Wake Hasara Kubwa
Wall Street Journal yaripoti kuwa Iran ina takribani makombora 2,000 ya balistiki pamoja na mishale ya cruise na drones, yenye uwezo wa kusababisha hasara kubwa kwa maslahi ya Marekani na washirika wake katika Asia Magharibi, huku uwepo wa wanajeshi 40,000 wa Marekani ukiongeza changamoto za kiusalama.