Washiriki
-
Mkutano wa Kielimu “Sira ya Alawi” Ufanyika Bangladesh kwa Ushirikiano wa Waislamu wa Shia na Sunni
Mkutano wa kielimu wa “Sira ya Alawi” umefanyika Chittagong, Bangladesh, kwa ushirikiano wa wanazuoni wa Shia na Sunni, ukijadili maadili, haki na uongozi wa kidini wa Imam Ali (a.s) na kuhimiza mshikamano wa kidini na kitamaduni katika jamii ya Kiislamu.
-
“Ushirikiano wa Kutekeleza Mpango wa Marekani na Israel” / Je, “Vita kama vya Karbala” vya Hezbollah Viko Mbele
Beirut – Baadhi ya wanasiasa na wabunge wa Lebanon wamewasilisha malalamiko rasmi dhidi ya Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah, baada ya hotuba yake ya hivi karibuni aliyoituhumu serikali ya Lebanon kwa kutaka kuisalimisha nchi mikononi mwa Israel.
-
Zaidi ya Mazuwwari wa Kigeni Milioni 4 Washiriki Ziara ya Arubaini Karbala
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa zaidi ya mahujaji wa kigeni milioni 4 wameshiriki katika Ziara ya Arubaini mwaka huu.
-
Asilimia 60 ya Wana-Lebanon Wapinga Kuondolewa Silaha za Harakati ya Mapambano ya Hezbollah
Uchunguzi mpya wa maoni nchini Lebanon umeonyesha kuwa Wana-Lebanon wengi—bila kujali dini au dhehebu—wanapinga kuondolewa silaha za vikosi vya mapambano bila kuwepo mkakati mbadala wa ulinzi.