Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje
Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, Sheikh Naim Qasim, amesisitiza kwamba ingawa kuna uwezekano wa kutokea kwa vita kati ya Lebanon na Israel, jambo hilo halijathibitishwa, lakini upinzani (muqawama) uko tayari kulilinda taifa la Lebanon hata kama litakabiliwa na hali ya upungufu wa vifaa. Hezbollah Imeimarika Zaidi Baada ya Mashambulizi ya adui.