baada
-
Leo Katika Historia:Iran Ilishambulia Kambi ya Ain al-Asad ya Marekani kwa Makombora ya Balistiki Ikiwa Kisasi cha Kuuawa kwa Jenerali Qasim Soleimani
Ilikuwa Januari 8, 2020 pindi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilipofanya Shambulizi kubwa la Kihistoria kwa kuitwanga Kambi ya Kijeshi ya Marekani iliyoitwa "Ain al-Asad" ikiwa ni sehemu ya kulipiza kiasi baada ya Kuuawa kwa Shahidi Qassem Soleimani
-
Uvumilivu wa Kishujaa wa Imam Jawad (a.s); Mwingiliano na Mke Asiyeelewana
Migogoro ni fundo linaloweza kukalia maisha ya mtu binafsi na ya kijamii; lakini ufunguo wa kulitatua si nguvu, bali ni haki (uadilifu). Mwenendo wa Imam Jawad (a.s) unaonesha kuwa hata katika migongano mikali zaidi, inawezekana kubaki binadamu, kuhifadhi heshima na kufungua njia ya uadilifu.
-
Imam wa Sala ya Ijumaa wa Baghdad:
"Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje
-
Sheikh Naim Qasim: Baada ya Mashambulizi ya Adui, Hezbollah Ilisimama Imara na Imekuwa Imara Zaidi / Wakati wa Vita Sikukubali Kwenda Iran
Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, Sheikh Naim Qasim, amesisitiza kwamba ingawa kuna uwezekano wa kutokea kwa vita kati ya Lebanon na Israel, jambo hilo halijathibitishwa, lakini upinzani (muqawama) uko tayari kulilinda taifa la Lebanon hata kama litakabiliwa na hali ya upungufu wa vifaa. Hezbollah Imeimarika Zaidi Baada ya Mashambulizi ya adui.