chaneli
-
Ripoti ya Channel 13: Israel Yaendelea Kupata Hasara Lebanon Bila Lengo la Wazi la Kijeshi
Televisheni ya Channel 13 ya Israel imeripoti kuwa jeshi la Israel linaendelea kupata hasara dhidi ya Hezbollah nchini Lebanon, huku changamoto za kijiografia na mgogoro wa kisiasa vikizidisha hali ngumu ya operesheni hiyo.
-
Sheikh Ahmad Haji Atoa Mafunzo Muhimu ya Kujenga Utu na Kukemea Dhulma katika Jamii | "Dhulma huondoa Baraka na Kuleta Majuto"
"Unaweza kumdhulumu mtu na ukalala usingizi mzito, lakini yule uliyemdhulumu halali kamwe. Anakumbuka dhulma yako kila siku na humlalamikia Mwenyezi Mungu dhidi yako. Na ikumbukwe kuwa macho ya Mwenyezi Mungu hayalali,” amesema Sheikh Ahmad Haji, akisisitiza hatari ya dua ya aliyedhulumiwa.
-
Rabi wa Kiyahudi kwa Tovuti ya “Arabi21”: Tuliishi Siku Zetu Bora Zaidi Chini ya Utawala wa Kiislamu na Nawataka Vijana wa “Israel” Waondoke
Rabi David Feldman aliuelekeza ujumbe wa moja kwa moja kwa vijana wa Kiyahudi wanaoishi chini ya uvamizi wa Israel, akiwataka wakimbie katika dola hilo, akionya kuwa kuendelea kwa vita vya mauaji ya kimbari hakuwahatarishi Wapalestina na Waislamu pekee, bali pia kunaongeza hatari ya chuki na vurugu dhidi ya Wayahudi katika nchi mbalimbali duniani. Pia alieleza msimamo wake kuhusu mjadala wa sasa wa suluhisho la mataifa mawili.