chini
-
Kituo cha Imam Sajjad (as) Kigoma kinaendelea kuelimisha vijana na kueneza mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)
Chini ya usimamizi wa Mkurugenzi Mkuu, Sheikh Hussein Moshi Abdallah, Kituo cha Imam Sajjad (as) kilichopo Kasuko, mkoani Kigoma, kinaendelea kutoa elimu ya dini kwa vijana na kuinua bendera ya Ahlul-Bayt (as) nchini Tanzania.
-
Ratiba ya Mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran na Iraq Yatangazwa Rasmi
Msemaji wa Kamati ya Maandalizi ya Kuaga, Kusindikiza na Kuzika mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametangaza ratiba kamili ya shughuli hizo zitakazofanyika katika miji ya Tehran, Qum, Mashhad, Najaf na Karbala. Shughuli hizo zinatarajiwa kushuhudiwa na mamilioni ya waombolezaji kutoka Iran na mataifa mbalimbali duniani.
-
Trump Adai Marekani na China Zina Uwezo wa Kushughulikia Urani Iliyoboreshwa ya Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa nyenzo za urani iliyoboreshwa za Iran zilizohifadhiwa chini ya ardhi zinaweza kutolewa na kushughulikiwa kwa uratibu wa Iran na IAEA, jambo lililozua mjadala mpya kuhusu mustakabali wa mpango wa nyuklia wa Tehran
-
Harakati za Kuundwa kwa Mkoa wa Basra Zarejea kwa Nguvu / Mji Mkuu wa Uchumi wa Iraq Wadai Kuwa Mkoa Huru
Harakati za kisiasa na za wananchi katika mkoa wa Basra, kusini mwa Iraq, za kuubadili mkoa huo kutoka kitengo cha kiutawala na kuwa mkoa huru (Iqleem) zimeanza tena kwa nguvu, huku Baraza la Mkoa wa Basra likianza kuchukua hatua rasmi za kuidhinisha mpango huo.
-
Hekalu la Chini ya Ardhi’ limechapishwa kwa Kiarabu
Katika Muktadha wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu (Sacred Defence), tafsiri ya Kiarabu ya kitabu “Hekalu ya Chini ya Ardhi” kilichoandikwa na Ma‘sumeh Mirabutalebi, ambacho kimepambwa na (maoni ya kupongeza) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu (Ayatollah Khamenei), kimechapishwa na Dar Tamkin nchini Iraq.
-
Abu Muhammad al-Jolani Kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Huku Akiwa Chini ya Vikwazo
Ahmad al-Sharaa, maarufu kama Abu Muhammad al-Jolani, Rais wa Serikali ya Muda ya Syria, anatarajiwa kushiriki na kutoa hotuba katika kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York katika wiki chache zijazo.