chini
-
Harakati za Kuundwa kwa Mkoa wa Basra Zarejea kwa Nguvu / Mji Mkuu wa Uchumi wa Iraq Wadai Kuwa Mkoa Huru
Harakati za kisiasa na za wananchi katika mkoa wa Basra, kusini mwa Iraq, za kuubadili mkoa huo kutoka kitengo cha kiutawala na kuwa mkoa huru (Iqleem) zimeanza tena kwa nguvu, huku Baraza la Mkoa wa Basra likianza kuchukua hatua rasmi za kuidhinisha mpango huo.
-
Hekalu la Chini ya Ardhi’ limechapishwa kwa Kiarabu
Katika Muktadha wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu (Sacred Defence), tafsiri ya Kiarabu ya kitabu “Hekalu ya Chini ya Ardhi” kilichoandikwa na Ma‘sumeh Mirabutalebi, ambacho kimepambwa na (maoni ya kupongeza) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu (Ayatollah Khamenei), kimechapishwa na Dar Tamkin nchini Iraq.
-
Abu Muhammad al-Jolani Kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Huku Akiwa Chini ya Vikwazo
Ahmad al-Sharaa, maarufu kama Abu Muhammad al-Jolani, Rais wa Serikali ya Muda ya Syria, anatarajiwa kushiriki na kutoa hotuba katika kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York katika wiki chache zijazo.
-
Wanafunzi wa Hawzat al-Zahraa (s.a) Waanza Mtihani wa Robo ya Pili - 2025
Mtihani huu ni sehemu ya ratiba ya kitaasisi ya kila mwaka inayojumuisha mitihani minne ya robo. Mitihani inatarajiwa kukamilika Alhamisi ya wiki hii.