chini
-
Trump Adai Marekani na China Zina Uwezo wa Kushughulikia Urani Iliyoboreshwa ya Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa nyenzo za urani iliyoboreshwa za Iran zilizohifadhiwa chini ya ardhi zinaweza kutolewa na kushughulikiwa kwa uratibu wa Iran na IAEA, jambo lililozua mjadala mpya kuhusu mustakabali wa mpango wa nyuklia wa Tehran
-
Harakati za Kuundwa kwa Mkoa wa Basra Zarejea kwa Nguvu / Mji Mkuu wa Uchumi wa Iraq Wadai Kuwa Mkoa Huru
Harakati za kisiasa na za wananchi katika mkoa wa Basra, kusini mwa Iraq, za kuubadili mkoa huo kutoka kitengo cha kiutawala na kuwa mkoa huru (Iqleem) zimeanza tena kwa nguvu, huku Baraza la Mkoa wa Basra likianza kuchukua hatua rasmi za kuidhinisha mpango huo.
-
Hekalu la Chini ya Ardhi’ limechapishwa kwa Kiarabu
Katika Muktadha wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu (Sacred Defence), tafsiri ya Kiarabu ya kitabu “Hekalu ya Chini ya Ardhi” kilichoandikwa na Ma‘sumeh Mirabutalebi, ambacho kimepambwa na (maoni ya kupongeza) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu (Ayatollah Khamenei), kimechapishwa na Dar Tamkin nchini Iraq.
-
Abu Muhammad al-Jolani Kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Huku Akiwa Chini ya Vikwazo
Ahmad al-Sharaa, maarufu kama Abu Muhammad al-Jolani, Rais wa Serikali ya Muda ya Syria, anatarajiwa kushiriki na kutoa hotuba katika kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York katika wiki chache zijazo.