Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain alisisitiza kuwa kuacha njia ya Muqawama (mapambano dhidi ya wavamizi na dhulma) hakuzai chochote isipokuwa fedheha, udhalilishaji na utumwa.
Riziki Halali Katika Mafundisho ya Kiislamu - Kulingana na Hadithi za Mtume na Maimamu wa Ahlul-Bayt (as) | Kulingana na mafundisho ya Kiislamu, kila mtu ana sehemu maalum ya riziki halali aliyopangiwa.
Kupata riziki kupitia njia haramu hakuongezi sehemu hiyo, bali hupunguza riziki ya halali na huleta madhara na athari mbaya katika maisha.
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amelaani uamuzi wa Marekani wa kutowapa viza maafisa wa Palestina kwa ajili ya kushiriki katika mikutano ijayo ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akisema kuwa kitendo hicho hakikubaliki kabisa.