hitimisho
-
Kuwavua silaha Hezbollah hakuwezekani; mpango mpya wa Marekani kwa eneo na Muqawama
Katika muktadha huu, Washington inafuata mkabala mpya unaoitwa “kufafanua upya suala la kuvua silaha.” Maafisa wa Marekani wamekubali kwamba kuangamiza kijeshi Hamas na Hezbollah kwa sasa si jambo linalowezekana; hivyo, mkazo umehamia katika kuzuia matumizi ya silaha badala ya kuzikusanya. Mabadiliko haya yanaashiria kukubaliwa kwa mipaka ya uhalisia wa uwanja wa mapambano, na kuelekea kwenye mifumo ya kuzuia na uangalizi badala ya suluhu za nguvu kali.
-
Chanzo: Tovuti Rasmi ya Ofisi ya Ayatollah Makarim Shirazi | Je, Sheria ya Mtume (s.a.w.w) Inaruhusu Kuuawa kwa Imam Hussein (a.s)?
Kwa mujibu wa Aya ya "Tathira" (Qur’an, Ahzab: 33), Ahlul-Bayt (a.s), akiwemo Imam Hussein(as), wamesafishwa (wametakaswa) na Mwenyezi Mungu dhidi ya dhambi. Hivyo, haiwezekani Imam kuwa chanzo cha fitina au kuvunja umoja.
-
Taarifa ya Kikosi cha Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Uadui wa Israel: "Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu imeongezeka"
"Mashambulizi ya Iran kwa Utawala haram wa Kizayuni (Israel) yameongeza Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu na Kufuta Hadithi feki za Siku zote kwamba: Israel ina Jeshi lisiloshindwa".
-
Wazayuni wanajutia vita na Iran | Nguvu ya Iran ya Kijeshi sio rahisi kuikabili
Sasa Israel imebakia kujutia na kujilaumu kuingia vitani na Iran na kukiri kuwa Nguvu ya Iran sio rahisi kuikabili. Hii ni baada ya kupata Mashambulizi makali zaidi ya Makombora ya Iran yenye uharibifu mkubwa na milipuko ya kutosha katika kila kona ya Utawala Ghasibu wa Israel.