Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.
Mwakilishi mwenye mamlaka kamili wa Ayatollah Sistani nchini Iran amesema kuwa Arbaeen ni fursa kubwa sana kwa wasimamizi na wenye dhamana wa tukio hili la kimataifa, na hawapaswi kupuuzia au kughafilika na thawabu na malipo makubwa yanayopatikana kutokana nalo.