kisaikolojia
-
Le Figaro yafichua: Vita halisi vya Israel dhidi ya Iran vinaendelea katika mitandao ya kijamii!
Le Figaro yafichua kuwepo kwa vita vya kisaikolojia vya Israel dhidi ya Iran kupitia mitandao ya kijamii. Ripoti inasema lengo ni kusukuma simulizi ya kubadilisha utawala sambamba na vitisho vya kijeshi. Akaunti bandia, maudhui ya AI, hashtag elekezi na operesheni za kidijitali hutumika kuendesha kampeni hiyo.
-
Theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia
Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
-
Hotuba ya 22 ya Nahjul-Balagha: Njia za Kihistoria za Kurejesha Batili!
Katika sehemu hii ya hotuba, Imam Ali (a.s) anasisitiza kwamba vyombo vya habari na mbinu za kisaikolojia ni silaha kuu za Shetani na wafuasi wake katika kujaribu kurejesha dhulma na uongo katika jamii.
-
Uhamaji wa Waisraeli 11,000 Baada ya Vita na Iran | Walihama ili kukimbia Makombora ya Iran
Kwa Mujibu wa Taarifa, kurejea kikamilifu kwa wakimbizi hawa majumbani mwao kutachukua miaka kadhaa.