kujitolea
-
Sheikh Isa Qassim: Kiongozi Shahidi alisimama kwa ajili ya Uislamu, Umma na ubinadamu
Mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Ahmad Qassim, amesema kuwa Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei alijitolea maisha yake kwa ajili ya Uislamu, Umma wa Kiislamu na ubinadamu, huku akieleza kuwa urithi wake utaendelea kuongoza njia ya Muqawama na umoja wa Waislamu.
-
Mamilioni ya Waombolezaji Washiriki Maandamano ya Ashura katika Zaidi ya Miji 60 nchini Nigeria
Mamilioni ya Waislamu wa Kishia na wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) walishiriki maandamano na majlisi za kuomboleza siku ya Ashura katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja, pamoja na zaidi ya miji 60 nchini humo, wakisisitiza kuendeleza ujumbe wa Karbala na utamaduni wa kusimama dhidi ya dhulma.
-
"Mtu kama mimi hawezi kumpa baia mtu kama yeye" – Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei alipofafanua somo Kubwa la Muharram
Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei alisema kuwa somo kubwa zaidi la Mwezi wa Muharram ni kujitolea kwa Imam Hussein (AS) kwa ajili ya kuilinda dini ya Uislamu, akisisitiza kuwa kila Muumini anapaswa kuwa tayari kujitoa kwa kila alicho nacho pale utetezi wa Uislamu unapohitajika.
-
Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba
Waandaaji wa tukio hilo wamesisitiza umuhimu wa jamii kujitolea na kuwajali wananchi wasiojiweza, hususan wale waliolazwa hospitalini na wanaohitajika kuongezewa damu ili kuendelea kuishi. Wamesema misingi ya Mafundisho ya Kiislamu kupitia watukufu wa Ahlul-Bayt (a.s) inasisitiza thamani ya utu, kusaidiana na kujitoa kwa ajili ya kuimarisha ustawi wa jamii.
-
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Kikosi cha Anga cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC):
“Utamaduni wa Kujitolea na Uadilifu ndiyo Mzizi wa Nguvu ya Kikosi cha Anga cha IRGC"
Makombora Sheikh Naderi alisema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya uongozi wa juu, kipindi hiki kimepewa jina la *“Wiki ya Ujasiri wa Makombora”* kwa lengo la kuenzi mashahidi na kuonyesha mafanikio ya kikosi hicho kwa wananchi.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu:
"Ushahidi (shahada) ni thawabu ya jitihada za jihadi; iwe katika utetezi wa miaka 8, au katika mapambano ya kishujaa ya siku 12"
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu, aliitaja shahada kuwa ni thawabu ya juhudi za jihadi, na alisisitiza juu ya umuhimu wa kujitolea huku katika kukuza mataifa. Vilevile, alieleza yakini yake juu ya ushindi wa haki na umuhimu wa kushikamana na majukumu ya kidini.