kukamatwa
-
Mali Yatangaza Zawadi ya Mamilioni ya Dola kwa Taarifa za Viongozi wa Kigaidi wa JNIM
Serikali ya kijeshi ya Mali imetenga dola milioni 3.5 kwa taarifa zitakazowezesha kukamatwa au kuuawa kwa kiongozi wa JNIM, Iyad Ag Ghaly, na dola milioni 2.5 kwa taarifa kuhusu naibu wake, Amadou Kouffa.
-
Burkina Faso Yakanusha Taarifa za Machafuko; Serikali Yatetea Muswada wa Kudhibiti Maeneo ya Ibada
Serikali ya Burkina Faso imetetea hatua ya kumkamata mwanazuoni wa Kiislamu Dk. Mohamed Kindou kufuatia hotuba yake kuhusu muswada wa maeneo ya ibada, huku ikisisitiza kuwa hakuna uasi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré na kwamba wananchi bado wanaunga mkono uongozi wake.
-
Mkuu wa Usalama wa Ikulu wa Venezuela Afukuzwa / Na Kukamatwa kwa Tuhuma za Usaliti
Taarifa za kina kuhusu kinachoendelea Nchini Venezuela bado zinaendelea kutokea, na hali ya kisiasa nchini Venezuela iko wazi kwa mfululizo wa taarifa mpya zinazotoka zikitoa ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusiana na kusalitiwa na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo.
-
Kiongozi wa Waislamu wa Senegal amekamatwa mjini New York; Jumuiya ya Waislamu wa Afrika Magharibi imepata mshtuko, sasa inafanya jitihada ili aachiwe
Imamu El-Hadji Hadi Thioob, kiongozi wa Waislamu wa Senegal na wa Jumuiya ya Waislamu wa Afrika Magharibi, amekamatwa New York, jambo ambalo limezua woga mkubwa na jitihada za kumtoa huru miongoni mwa wahamiaji na wakatibu wa haki za wahamiaji. Thioob, ambaye alianzisha msikiti katika eneo la Bronx, New York, miaka thelathini iliyopita, kwa sasa anashikiliwa katika kituo kikubwa zaidi cha kizuizi cha wahamiaji mashariki mwa Marekani, na jamii ya eneo hilo ipo kwenye mshtuko mkubwa.
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.