kushindwa
-
Ayatollah Mojtaba Khamenei Aonya Dhidi ya Njama za Kusababisha Mgawanyiko wa Kijamii Iran
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja wa wananchi, akionya kuwa adui anatumia mbinu za kueneza mifarakano ya kijamii baada ya kushindwa kufikia malengo yake kupitia mashinikizo ya kijeshi, kiuchumi na kisiasa.
-
Israel Yakiri Kushindwa Kukabiliana na Droni za Muqawama wa Lebanon
Jeshi la Israel limekiri kuwepo kwa hitilafu katika mifumo yake ya onyo dhidi ya droni za FPV zinazotumiwa na Muqawama wa Hezbollah, huku ripoti zikieleza kuwa teknolojia mpya ya droni hizo zinazoongozwa kwa “fiber-optic” imeongeza hofu na changamoto kubwa kwa vikosi vya utawala huo katika medani za mapambano.
-
Upendo na Uaminifu Usio na Kikomo kwa Muqawama na Wilayat; Kumbukumbu ya Mashahidi Nasrallah na Safiyyu al-Din
Katika kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa mazishi ya mashahidi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah na Hashim Safiyyu al-Din, Naim Qassem alisisitiza kuendelea kwa njia ya Muqawama na uaminifu (Wilayat) kwa Kiongozi Sayyid Ali Khamenei, akieleza kuwa Muqawama hauwezi kushindwa iwe kwa ushindi au kwa shahada.
-
BBC na mkwamo wa mradi wa shinikizo; kutoka mpango wa vita hadi kurudi nyuma kisiasa
Baada ya vyombo vya habari pinzani kusukuma wazo la mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, msimamo wa kuzuia wa Iran uliibadilisha hali na kuilazimisha Marekani kuachana na chaguo la vita na kuelekea kwenye mazungumzo.
-
Hamdan Sabbahi: Operesheni “Tofaan Al-Aqsa” imevunja njia ya kawaida ya uhusiano na Israeli
Hamdan Sabbahi, katika hotuba yake Beirut, akionyesha athari za Operesheni “Kimbunga cha Al-Aqsa”, alisisitiza juu ya kushindwa kwa miradi ya kutaka kugawanya ardhi na kukawaidaisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, na pia alibainisha kuwa utetezi wa silaha za upinzani na nafasi ya vyombo vya habari itakuwa muhimu sana katika vita vya siku zijazo.
-
Scott Ritter: Iran Yailazimisha Israel Kusitisha Vita vya Siku 12 kwa Teknolojia ya Juu ya Makombora
Aliyekuwa askari wa Kikosi cha Wanamaji cha Marekani na mpelelezi wa zamani wa Umoja wa Mataifa kuhusu silaha za maangamizi, Scott Ritter, amesema kuwa Iran katika vita vya siku 12 haikurudisha tu udhibiti wa hali ya vita, bali pia iliadhibu vikali utawala wa Kizayuni kwa kutumia teknolojia yake ya kisasa ya makombora ya masafa marefu.
-
Wayemen hawawezi kushindwa
Gazeti la Kizayuni Jerusalem Post, katika ripoti yake, limesisitiza kuwa Taifa la Yemen haliwezi kushindwa na likabainisha wazi kuwa Israel haitaki vita vya moja kwa moja na Yemen.
-
Makelele ya Maafisa wa Kijeshi wa Zamani wa Israel dhidi ya Vita ya Gaza: "Tuko Kwenye Ukingo wa Kushindwa kwa Kihistoria"
Amos Malka, aliyewahi kuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa kijeshi, pia alitoa onyo kuwa:"Tuko karibu na ukingo wa kushindwa. Malengo ya awali ya kijeshi yalitimia muda mrefu uliopita, lakini kwa sababu za kisiasa – si za kijeshi – mapigano yanaendelea, na hali hii inaiathiri vibaya Israel kisiasa na kiusalama."