malipo
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Waishe Shia wa Lebanon: Msitoe hata nafasi wala marupurupu kwa adui Mzayuni
Sheikh Ali Al-Khatib, Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, ameitaka serikali isitoe marupurupu ya kihalisi au kisiasa bila malipo kwa adui wa Kizayuni.
-
Mwakilishi wa Ayatullah Sistani:
Licha ya juhudi zote, bado haki ya kueleza na kuonesha kikamilifu ukubwa wa Arbaeen haijatimizwa
Mwakilishi mwenye mamlaka kamili wa Ayatollah Sistani nchini Iran amesema kuwa Arbaeen ni fursa kubwa sana kwa wasimamizi na wenye dhamana wa tukio hili la kimataifa, na hawapaswi kupuuzia au kughafilika na thawabu na malipo makubwa yanayopatikana kutokana nalo.
-
Jibu la Ayatollah Al-Udhma Sistani Kuhusu Kufuata Maimam wa Sala ya Jamaa Wanaopokea Malipo (Mishahara) za Kiserikali
Ayatollah Al-udhma Al-Sistani, kiongozi mkuu wa Shi’a, katika jibu lake kwa swali kuhusu kufuata maimamu wa sala ya jamaa (imam wa jamaa) wanaopokea haki (ya mishahara) kutoka serikali za Kiislamu, alishauri waumini wasisali nyuma yao, ili nafasi za kidini zilindwe dhidi ya uingiliaji wowote unaowezekana wa serikali.
-
Malengo ya “Kulisha Chakula” kwa “Mazuwwari wa Arbaeen” katika Uislamu
Mwenye Kutoa chakula kwa Mazuwwari wa Arbaeen ni mwakilishi wa ukarimu na upendo kwa Ahlul Bayt (a.s) ambao una mizizi yake katika mafundisho ya Qur’ani yanayohimiza kutoa sadaka kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na riwaya za Imamu wa Ahlul Bayt (a.s) kuhusu huduma kwa waumini. Kitendo hiki kizuri si tu kwamba kinasaidia kurahisisha safari ya Mazuwwari, bali pia kinakuza umoja na baraka za Kimungu.