Vyanzo vya kisiasa vya Iraq vimeripoti kuwepo kwa makubaliano ya awali miongoni mwa vyama vinavyounda muungano wa “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” kuhusu uteuzi wa mgombea wa kuongoza serikali ijayo ya nchi hiyo.
Kwa mujibu wa madai ya tovuti moja ya Kizayuni, vyanzo vya kisiasa nchini Israel vinamtaja David Barna, mkuu wa Mossad, kama mmoja wa wagombea wakuu wa kumrithi Benjamin Netanyahu.
Zaidi ya raia milioni 6.5 wa Honduras watapiga kura Jumapili hii kuamua kama mradi wa kisiasa wa mrengo wa kushoto wa Rais Xiomara Castro na mgombea wake, Rexy Moncada, utaendelea au la, au kama shinikizo la Donald Trump litaweza kumsaidia Nasry Asfura, mgombea wa mrengo wa kulia, kufanikisha ushindi.