misikiti
-
Msikiti wa Haram ya Imam Reza (a.s) - Mashhad, Iran, Unashikilia Rekodi ya Dunia kwa kuwa na Eneo Kubwa Zaidi Kuliko Misikiti Yote Duniani
Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).
-
Shukrani za Ayatollah Nouri Hamadani kwa jitihada za Ofisi ya Vikundi vya Misikiti katika shughuli za Qur’an / Ihitaji uwepo mkubwa zaidi wa vijana katika Misikiti.
Kiongozi wa kiitikadi wa Mashia alisema kuwa: ‘Msikiti usio na vijana hauwezi kustawi, na uwepo wa vijana katika misikiti ni wa thamani sana.’ Alisisitiza: ‘Ninashukuru na kupongeza jitihada za Vikundi vya Utamaduni na Sanaa vya Misikiti katika shughuli za Qur’an na uhai wa misikiti, na nina matumaini uwepo wa vijana katika misikiti utakuwa mkubwa zaidi.
-
Rais katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ya Medhametan:
''Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu na wa Qur’ani ni la kuthaminiwa sana.”
“Dkt. Pezeshkian katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ‘Medhametan (ni jina la tukio / shindano)’, huku akitoa shukrani kwa waandaji wa mashindano haya, alisisitiza: Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu katika nyanja hii ya ujenzi wa kiroho ni la kuthaminiwa sana.”