Jarida la The Economist limetoa onyo la kisiasa likirejelea hatima ya John F. Kennedy, likidokeza kuwa mazingira ya mvutano na migawanyiko mikali yanaweza kuongeza hatari za kiusalama kwa Donald Trump.
Wakati ambapo Waislamu wa Kisunni wameshindwa kufikia mwafaka juu ya mgombea mmoja, hatima ya urais wa Bunge la Iraq imefungamana zaidi kuliko wakati mwingine wowote na maamuzi pamoja na hesabu za kisiasa za Waislamu wa Kishia na vyama vya Kikurdi.