mivutano
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran: Nchi za Kiislamu Lazima Zizuie Israel Kuchochea Mvutano Mashariki ya Kati
Waziri wa Ulinzi wa Iran (akikaimu), Brigedia Jenerali Majid Ibn al-Ridha, amesisitiza umuhimu wa kuanzishwa kwa mfumo wa pamoja wa kiusalama kati ya nchi za Kiislamu ili kuzuia utawala wa Israel kuchochea mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Sheikh Naim Qassem: Mpango wa Kuangamiza Iran na Muqawama Umeshindwa / Amani Itategemea Kusitishwa kwa Uvamizi na Kujiondoa kwa Adui
Katibu Mkuu wa Hezbollah amesema kuwa mpango wa kuangamiza Iran na muqawama umefeli, akisisitiza kuwa kusitishwa kwa mapigano lazima kuwe kwa masharti ya kusitishwa kabisa kwa uvamizi na kujiondoa kwa adui katika maeneo wanayoyakalia.
-
Trump: Marekani Itaishambulia Iran na “Kwa Nguvu Kubwa”, Aonya Kurudi kwa Mashambulizi ya Mabomu
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani iko tayari kuendelea na mashambulizi dhidi ya Iran kwa nguvu kubwa zaidi, akithibitisha pia uwezekano wa kurejea kwa mashambulizi ya mabomu baada ya swali la mwandishi wa habari kuhusu operesheni hizo.
-
Jarida la The Economist; limetumia kichwa cha Habari Kikisema: “Hatima ya Kennedy inamsubiri Trump!"
Jarida la The Economist limetoa onyo la kisiasa likirejelea hatima ya John F. Kennedy, likidokeza kuwa mazingira ya mvutano na migawanyiko mikali yanaweza kuongeza hatari za kiusalama kwa Donald Trump.
-
Mkwamo katika Bunge la Iraq; mizani ya kisiasa yameelemea kwa Waislamu wa Kishia na Wakurdi
Wakati ambapo Waislamu wa Kisunni wameshindwa kufikia mwafaka juu ya mgombea mmoja, hatima ya urais wa Bunge la Iraq imefungamana zaidi kuliko wakati mwingine wowote na maamuzi pamoja na hesabu za kisiasa za Waislamu wa Kishia na vyama vya Kikurdi.