mpaka
-
Utafiti wa Israel: Asilimia 66 ya Walowezi Waona Kaskazini mwa Palestina Inayokaliwa Kukosa Usalama
Matokeo ya utafiti wa maoni nchini Israel yanaonyesha kuwa asilimia 66 ya waliojibu wanaamini kuwa hali ya usalama katika kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na mpakani na Lebanon haitoshi kuwahakikishia usalama wakazi wa eneo hilo.
-
Urusi Inapanga Kuanzisha Kambi 9 za Kijeshi Katika Eneo la Kusini mwa Syria
Urusi, kwa lengo la kurejesha ushawishi wake wa kijeshi hadi mpaka wa kusini mwa Syria, inapanga kuanzisha vituo 9 vipya vya kijeshi katika mikoa ya Quneitra na Daraa.
-
Wanajeshi 11 wa Usalama wa Pakistan Wauawa Kwenye Mpaka wa Afghanistan
Baada ya shambulio la silaha karibu na mpaka wa Afghanistan, wanajeshi 11 wa Pakistan waliuawa.
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kushirikiana na Pakistan kukomesha ugaidi
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.